• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KIKAO KAZI CHA MKUU WA WILAYA

Posted on: May 2nd, 2021

Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh Danstan Kyobya,katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya mji Nanyamba, amekutana na wenyeviti wa vijiji vyote vya halmashauiri ya Mji Nanyamba kwaajili ya kusikiliza kero. Wenyeviti wamesema kero kubwa kwao ni kukosa posho,kukosa bima za afya, vitambulisho walivyonavyo havina ubora na kuhitaji viboreshwe na wanahitaji mafunzo ya utawala bora.Halmashauri ya Mji Nanyamba ina jumla ya vijiji 87 na mitaa 9 na jumla ya kata 17.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amemwagiza mkurugenzi wa halmasahuri ya mji wa Nanyamba na  manejimenti kuyafanyia kazi kero zote zilizotolewa na wenyeviti na kuzijibu kwa wakati.Pia ametoa maelekezo kwa  Mkurugenzi na wakuu wa idara kwenda vijijini kusikiliza kero na kutatua kero zote za kiutendaji.

mkuu wa wilaya amewaagiza wenyeviti wa vijiji kutekeleza jukumu la ulinzi na usalama katika maeneo yao na kutoa taarifa pindi wanapoona kunauhitaji wa kufanya hivyo.pili amewaagiza wenyeviti kusimamia miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika vijiji vyao kama vile zahanati,madarasa,ofisi za watendaji nk

mwisho mkuu wa wilaya amemwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji Nanyamba kuuandaa ratiba na kumjulisha ili aweze kufanya ziara kwenye vijiji vyote kusikiliza na kutatua kero za wananchi,sambamba na kukaguamiradi yote ya maendeleo. ya  halmashauri ya mji nanayamba yenye vijiji 87 na mitaa 9.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.