• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa wilaya ya Mtwara ndugu Dustan Kyobya katika kikao kazi

Posted on: February 11th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh Dastan Kyobya  tarehe 09/02/2021 katika ukumbi wa

wa mikutano wa Chuo cha Ualimu Mtwara alifanya kikao kazi na Halmahauri zake anazoziongoza

ambazo ni Mtwar DC,Mtwara Munispaa na Halmashauri ya Mji Nanyamba


Kikao kazi hicho kilikuwa na Agenga kuu Tano Kufungua kikao,Magizo ya Serkali,Elimu

Ondoa poli Ongeza Uzalishaji,Mengineyo na kufunga kikao.Mkuu wa Wilaya aliwaalika Meya

wa Manisipaa,Wenyeviti wa Halmashauri,kamati ya Ulinzi na Usalama,Wakurugenzi,Makatibu

Tarafa,Wakuu wa Idara na Vitengo na Watendaji wa kata.


Maagizo ya Serikali:-

  kujua idadi ya nyumba na madaraja yake

  Nyumba ngapi zimelipiwa kodi na ngapi hazijalipiwa

  Ukusanyaji wa Kodi ya Mabango ya Biashara na Kodi ya Ardhi

Elimu:-

   Baadhi ya kata zinachangamoto za madawati katika shule zao na Mkuu wa Wilaya

ametoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa halmashauri zote changamoto hizo zipatiwe ufunguzi katika

ka.

Maelekezo mengine yametolewa kwa wakuu wa Elimu Msingi na Sekondari kuhakikisha

kila shule yenye eneo inalima mazao ya chakula na Biasshara.

Taarifa ya watoto ambao hawajalipoti shuleni na Taarifa za watoto watoro.


Ondoa poli ongeza Uzalishaji:-

Kila Hamashauri iandae Mashamba ya mfano kwenye kila kata.s

Yatengwe maeneo ya uwekezaji

Kila Halmashuari iwe na samba lake la mfano na litakalo ongeza Mapato

Halmasahuri kuanzisha karakana kwaajili ya kutengeneza na kukarabati madawati.


vitambulisho vya Ujasiliamali:-

Vitatolewa vikiwa na uhainisho wa jina,picha na Mwaka

Wafanya biashara lengwa na siyo kila Mfanyabiashara.


Bajeti za 2021/2022:-

Halmasahuri yenye chini ya 1,500,000,000/= ijenge zahanati 2 namadarasa vyumba 5,uandaaji wa bajeti

uzingatie maelekezo hayo.


Uendeshaji wa Vikao vya Kisheria:-

Vikao vya kisheria vya ngazi zote toka vitongoji,Vijiji/Mitaa na WDC vifanyike

na changamoto zinazojadiliwa zitatuliwe.

kuwe na utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi.



Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.