• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

BANK YA NMB TAWI LA NANYAMBA YAENDELEA KUTOA VIFAA SEKTA YA AFYA NA ELIMU

Posted on: November 14th, 2024

Ikiwa ni Miaka saba Mfululizo Bank ya @nmbtanzania Tawi la Nanyamba leo tarehe 14/11/2024 imeendelea na utoaji wa vifaa kutokana na faida inayopatikana kwa wateja wao ya asilimia 1 kwa mwaka wamegawa vifaa mbalimbali sekta ya Elimu na Afya katika Halmashauri ya Mji Nanyamba.Akisoma taarifa hiyo ya kukabidhi vifaa hivyo Meneja wa Nmb Kanda ya Kusini Bi Olipa Hebel jumla ya milioni 34.8 imetolewa kwa kununua vifaa kama vile Vitanda vya kujifungulia wajawazito, Magodoro, Madawati kwa shule za msingi, vitanda vya kawaida vya wagonjwa, viti na meza kwa shule za Secondari.Meneja wa Tawi la Nmb Nanyamba Ndg Mwabuke Mwakyusa amesema kuwa shule na sekta walionufaika na mgao huo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ni Hospital ya Halmashauri Mji Nanyamba imepata vitanda 10 vya kawaida, Magodoro 10, vitanda 2 vya kujifungilia wajawazito, Kituo cha afya Dinyecha Magodoro 20, Kituo cha afya Nyundo Magodoro 6, Shule ya Msingi Mbembaleo madawati 50, Shule ya Msingi Njengwa madawati 50, shule ya Sekondari Mtiniko viti na meza 50, Shule ya sekondari Mnongodi viti na meza 50 na shule ya Sekondari Nyundo viti na meza 50.Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Mhandisi Mshamu Munde amewashukuru @nmbtanzania kwa kuendelea kurudisha faida kwa jamii ya Nanyamba hiyo imetokana na ushirikiano uliopo kati ya Nmb na jamii ya Nanyamba alimalizia kwa kusema hivyo.Mgeni rasmi Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Mhe Jamali Abdalla Kapende kwaniaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amewapongeza Nmb kwa kuendelea kutoa vifaa kwenye shule mbalimbali kupitia gawio hilo la faida aliwaeleza wasiwachoke Halmashauri wanavyoleta maombi yao ya kuomba msaada wa vifaa mbalimbali kupitia sekta hizo za afya na elimu kwani jambo wanalofanya ni kubwa sana kwa jamii ya wana Nanyamba kwa ujumla.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.