• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

BI ZAINAB S MGOMI ATAMBULISHA RASMI MIRADI YA BOOST NAMTUMBUKA-NITEKELA

Posted on: July 22nd, 2025

MKurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba  Bi Zainab Mgomi, Leo tarehe 22 julai 2025 ametambulisha rasmi miradi ya maendeleo ya mpango wa BOOST kwa miradi ya ujenzi wa shule ya awali ya mkondo mmoja shule ya msingi Namtumbuka kutokana na shule iliyopo ni ya muda mrefu hivyo miundombinu yake ni chakavu, pia ujenzi wa shule ya msingi na awali ya mkondo mmoja ndani ya shule ya sekondari Nitekela.

Akizungumza wakati wa utambulisho wa miradi, mkurugenzi wa Mji amemshukuru Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wananchi wa Nanyamba kwa kuleta pesa kiasi Cha Tsh bilioni 1.32 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sekta ya Elimu ili kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia,

vijiji vya Namtumbuka na Nitekela kila kimoja kitaenda kutekelezwa miradi ya Tsh milioni  314 ili kukamilisha ujenzi wa miradi tajwa.

Aidha ametoa wito kwa wote watakaohusika kwenye  zoezi la utekelezaji miradi kwa upande wa wataalam ngazi ya Halmashauri na timu za ufuatiliaji na upokeaji vifaa kwa ngazi ya vijiji kuwa wazalendo na waadilifu ili kukamilisha miradi kwa wakati na ubora inayoendana na thamani ya pesa iliyotolewa na serikali.

Mratibu wa mpango wa BOOST ndugu Mohamedi Kazumari aliwaomba wananchi kushiriki katika hatua za awali kama vile usafishaji wa eneo la mradi na uchimbaji wa msingi ikiwa ni sehemu ya mchango wa jamii katika miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika zoezi la utambulisho wa mradi afisa elimu msingi ndugu  Joseph Muhagama aliwaasa walimu viongozi  na timu za Usimamizi ngazi za vijiji kuhakikisha mchakato wa manunuzi unatumia mfumo wa NeST kama miongozo ya serikali inavyoelekeza lakini pia waweke rekodi ya taarifa na nyaraka zote za miradi kwa usahihi .

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU LISHE YA MAMA NA MTOTO

    July 22, 2025
  • BI ZAINAB S MGOMI ATAMBULISHA RASMI MIRADI YA BOOST NAMTUMBUKA-NITEKELA

    July 22, 2025
  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA MAMA NA MTOTO

    July 21, 2025
  • BI ZAINAB MGOMI ASHIRIKI UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

    July 17, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.