• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

Posted on: August 9th, 2025

Mapema hivi leo Watumishi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba na taasisi mbalimbali za serikali walijumuika kwa furaha kwenye bonanza la michezo lililolenga kuimarisha mshikamano, ushirikiano kazini na afya za wafanyakazi.Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, akiongozana na Katibu Tawala wa Wilaya  Wakili Richard Mwalingo pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Bi Zainab Mgomi.Bonanza hilo lilianza na Jogging mapema asubuhi ya leo bila kusahau Michezo mbalimbali ilifanyika ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa pete, kuvuta kamba, mpira wa wavu, mbio na zawadi mbalimbali zikitolewa kwa washindi. Ushindani wa kirafiki ulitawala huku washiriki wakionyesha umoja na mshikamano wa kipekee.Akihutubia, Mhe. Mwaipaya aliwapongeza watumishi kwa mshikamano na ushiriki wao, akisisitiza kuwa michezo ni njia bora ya kujenga afya, kuongeza ari ya kazi na kudumisha mshikamano wa kitaifa pia alisisitiza kuwa mashindano haya yawe endelevu ili kuimarisha zaidi mahusiano kazini.Bila kusahau katibu tawala waWilaya na Mkurugenzi waliweza kutoa neno kwa kuwashukuru Watu wate waliojitokeza kwa siku ya leo katika zoezi hili muhimu la kujenga afya na kuimarisha urafiki na ushirikiano

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • KILELE CHA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA MJI NANYAMBA YAHITIMISHWA ZAIDI

    August 06, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.