• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

JUKWAA LA WNANWAKE HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

Posted on: February 14th, 2025


Zikiwa zimesalia siku chache kuazimisha siku ya Wanawake  Duniani tarehe 14/2/2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kumefanyika kikao cha jukwaa maalumu la Wanawake katika kujadili maendeleo, uhai na changamoto zinazokumbana na majukwaa yote ya Halmashauri ya Mji Nanyamba.

Aidha jukwaa hilo la Wanawake mambo Mengi yalijadiliwa kwa lengo la kuendeleza maendeleo ya Wanawake Halmashauri ya Mji Nanyamba ikiwa  pamoja na malengo yao muhimu kwa kila  kiongozi wa kila kata  katika kuchangia ukuaji wa majukwaa ya Wanawake Halmashauri ya Mji Nanyamba ikiwa pamoja na

-Viongozi wa kata kufanya ziara za kutembela majukwaa yote ndani ya kata

-Kutafuta rasilimali fedha, watu na vitendea kazi vitakavyo saidia katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali.

- Kuanzisha miradi ya maendeleo ya kimkakati ili kuongeza kipato cha jukwaa.

- Kusimamia uhai na maendeleo ya jukwaa kuanzia ngazi ya mtaa na kijiji.

- Kuanzisha vikundi mbalimbali vya maendeleo katika maeneo ambako hakuna vikundi

Jukwaa hilo limesimamiwa na Bi Shadia Amour ambaye ni Mwenyekiti wa jukwaa ngazi ya Halmashauri.

Jukwaa hilo la Wanawake lilihudhuliwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Asha mfaume katibu wa jukwaa Halmashauri ya Mji Nanyamb  , Fatuma fujo Makamu Mwenyeikiti ngazi ya Halmashuri,  wawakilishi kutoka Benki za CRDB na NMB , pamoja na Viongozi mbalimbali wa majukwaa ya kata ya Halmashauri.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANA NANYAMBA

    April 15, 2025
  • MAHAFALI YA PILI YA KIDATO CHA SITA SHULE YA SEKONDARI DINYECHA YAFANA

    April 12, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    April 10, 2025
  • HAPPY KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.