• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI MJI NANYAMBA LAPITISHA SHILINGI BILIONI 24.3 KATIKA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

Posted on: January 30th, 2025



Baraza la Waheshimiwa Madiwani Halmashauri ya Mji Nanyamba leo tarehe 30/1/2025 limepitisha Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 24.4.Akisoma taarifa hiyo  Mkurugenzi wa Mji Nanyamba Mhandisi Mshamu Munde amesema kuwa makisio ya mpango wa bajeti ni shilingi bilioni 24.4 ambapo Ruzuku ya mishahara ni shilingi bilioni 13.3 sawa na asilimia 55.1, Ruzuku ya miradi ya maendeleo shilingi bilioni 1.024 sawa na asilimia 4.2, mapato ya ndani shilingi bilioni 3.7 sawa na asilimia 15.2 na michango ya jamii katika shughuli za maendeleo shilingi milioni 250 sawa na asilimia 1.0.Aidha Mkurugenzi baada ya kuwasilisha mpango huo wa bajeti alisema bajeti hii imekuwa na ongezo la shilingi bilioni 1.2 sawa na asilimia 5.6 ukilinganisha na bajeti ya mapato ya mwaka 2024/2025 yenye jumla ya makadirio ya shilingi bilioni 23.1.Mpango huo wa bajeti umepitishwa katika Mkutano maalum wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kuhudhuliwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe Abdallah Mwaipaya, kamati ya Usalama, viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa wakuu wa Taasisi za Serikali, Maafisa Tarafa, wakuu wa Divisheni na vitengo pamoja wa watendaji wa kata.



Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.