• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

WADAU WA KOROSHO WAKUTANA NANYAMBA KUJADILI TIJA YA MSIMU WA 2025/2026.

Posted on: October 3rd, 2025

Leo katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Nanyamba kimefanyika kikao cha wadau wa zao la korosho kwa lengo la kujadili ufanisi na tija ya msimu wa kilimo mwaka 2025/2026.Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Nanyamba, Bi. Zainab Mgomi, alimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mheshimiwa Abdallah Mwaipaya, ambaye aliongoza kikao hicho kama mwenyekiti.Katika kikao hicho, maafisa mbalimbali wa Halmshauri na sekta ya kilimo walifanya mapitio na mawasilisho kuhusu ubora wa zao la korosho, hatua zilizochukuliwa kuongeza ufanisi, na mikakati ya kuimarisha thamani ya zao hilo.Pia Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha Korosho Halmshauri ya Mji Nanyamba aliwasilisha taarifa kuhusu hatua za uthibiti wa zao hilo, huku wananchi wakipata nafasi ya kutoa mawazo yao juu ya namna ya kuboresha sekta hiyo muhimu kwa uchumi wa taifa ndani ya halmshauriViongozi wengine waliotoa nasaha na ushauri mbalimbali ni pamoja na Katibu Tawala wa Wilayaya Mtwara, Wakili Richard Mwalingo, Mrajis wa Mkoa wa Mtwara, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Mtwar-Masasi Mamcu ,Meneja wa Uthibiti Ubora wa Korosho wa Mtwara, pamoja na viongozi wa taasisi mbalimbali za kifedha ikiwemo NMB, CRDB na DCB Bank Pia walihudhuria viongozi wengine wa kada mbalimbali.Dc Mwaipaya alihitimisha kikao kwa kutoa hotuba fupi akiwataka viongozi wote kuhakikisha wanachukua hatua madhubuti katika kusimamia zao la korosho ili kuongeza tija na kipato cha wakulima wa Nanyamba na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WADAU WA KOROSHO WAKUTANA NANYAMBA KUJADILI TIJA YA MSIMU WA 2025/2026.

    October 03, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 22, 2025
  • MAOMBI YA KUPIGA KURA YA RAIS

    September 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    September 19, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.