• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

BI ZAINAB SALUM MGOMI MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA AKABIDHIWA RASMI OFISI NA MTANGULIZE MHANDISI MSHAMU MUNDE

Posted on: July 11th, 2025



Mnamo tarehe 11 Julai 2025 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba @mgomizainab amekabidhiwa ofisi na mtangulizi wake Mhandisi @mshamu__munde

Aliyemaliza muda wake wa Kiutumishi mbele ya Timu ya Menejimenti katika ukumbi mdogo wa Halmashauri.

Mhandisi Mshamu Munde akikabidhi ofisi hiyo amewashukuru Timu ya Menejimenti kwa ushirikiano kipindi chote cha majukumu yake ya Ukurugenzi wamempa ushirikiano wa kutosha na waendelee na kasi hiyo hiyo ya ushirikiano.

Aliendelea kwa kusema kuwa yeye anaoandoka hatarajii kusikia kuwa Mkurugenzi aliyeondoka alikuwa hivi wachuku yale mazuri na mabaya wamuachie yeye mwenyewe  ili Halmashauri ya Mji Nanyamba iendelee kusonga kimaendeleo.Kwa upande wa Mkurugenzi Bi Zainab S. Mgomi alimshukuru mtangulizi wake kwa mapokezi mazuri toka anakuja kuripoti na ifmefikz hatua ya makabidhiano unajua mchango wake kiutumishi ataendelea kuchota busara, ushauri ili Nanyamba iweze kukuwa kiuchumi na katika nyanja mbalimbali.

Pia alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt @samia_suluhu_hassan kwa kumuamini na kumpa majukumu hayo ili aweze kuisimamia vyema Halmashauri ya Mji Nanyamba ipasavyo.

Timu ya Menejimenti imemtakia safari njema Mhandisi Munde nje ya Utumishi wake uliofikia kikomo na kumkaribisha Mkurugenzi Bi Zainab kwa kusema kuwa wapo Tayari muda wote kufanya kazi iwe jua, iwe mvua ili kuendelea kusongesha gurudumu la kimaendeleo


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WAGOMBEA MBALIMBALI WARUDISHA FOMU ZA UGOMBEA

    August 27, 2025
  • WAGOMBEA MBALIMBALI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UGOMBEA WA UDIWANI

    August 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.