• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

CMT YATEMBELEA KITUO CHA AFYA DINYECHA

Posted on: September 28th, 2018

CMT YATEMBELEA KITUO CHA AFYA DINYECHA

Timu ya wataalam ya Halmashauri ya Mji Nanyamba ambayo inaumdwa na Wakuu wa Idara ikiongozwa na Mkurugenzi wa Mji Ndg. Oscar A. Ng’itu, Septemba 28 ilitembelea na kukagua kituo kipya cha afya cha Dinyecha ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendelea Kituoni hapo pamoja na huduma kutolewa kituoni hapo.

Mkurugenzi wa Mji Wakili Msomi Oscar A. Ng'itu (Aliyevaa suruali yenye rangi ya damu za mzee) akiongozana na Mganga Mkuu wa Mji Dkt. Kyabaroti P. Kyabaroti.


Timu hiyo ambayo iliongozwa na Mkurugenzi wa Mji ilianza kukagua Duka la dawa la Halamashauri lililopo kituoni hapo ambapo mambo mbalimbali yaliweza kuelezwa kama ushauri katika usimamaizi na uendeshaji wa duka hilo.

                                        Muonekano wa nje wa dula la dawa linalomilikiwa na Halmashauri ya Mji Nanyamba

Aidha, mfamasia wa Mji Ndg. Emanuel Maro aliieleza CMT mipango mikakati wa namna ya uendeshaji wa duka hilo huku akieleza manufaa ambayo Halmashauri na Jamii itafaidika kupitia duka hilo. Uwepo wa duka hilo utapunguza kero ya wananchi kusafiri kwenda Mtwara mjini kununua dawa badala yake dawa zitapatikana hapa hapa.

                                      Mfamasia wa Mji  Ndg. Emanuel Maro (mwenye shati jeupe) akiwa anaeleza namna gani duka hilo linafanya kazi

Pia, CMT ilitembelea chumba cha kuhifadhia dawa, vyumba vya kutolea huduma kama vile vyumba vya waganga na kile cha sindano ili kuweza kujionea utaratibu uliopo ambapo Mkurugenzi wa Mji aliwashauri wahusika kuweka utaratibu mzuri wa mpangilio wa uhifadhi wa maboksi ya dawa na vifaa vinginevyo.

                                                  Mkurugenzi wa Mji akipokea maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu 

Katika kuhitimisha ziara hiyo, timu hiyo ilimshauri mganga mfawidhi kuhakikisha wanaweka utaratibu mzuri wa utoaji huduma ambapo wagonjwa watapata huduma bora kwa wakati bila kusumbuka.



Kwa picha za matukio mbalimbali bofya http://nanyambatc.go.tz/sinlge-gallery/cmt-yatembelea-kituo-cha-afya-dinyecha

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.