• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

FAINI YA MILIONI 10 KWA WATAKAOFANYA MANUNUZI YA UMMA NJE YA MFUMO WA NeST

Posted on: August 25th, 2023


FAINI YA MILIONI 10 KWA WATAKAOFANYA MANUNUZI YA UMMA NJE YA MFUMO WA NeST.

Mamlaka ya udhibiti manunuzi ya umma (PPRA) imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa umma 60 wa idara na vitengo mbalimbali kutoka Halmashauri ya Mji Nanyamba, Manispaa ya Mtwara Mikindani na Wilaya ya Mtwara kuhusu mfumo mpya wa manunuzi ya umma kieletroniki, NeST. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Boma, ofisi ya mkuu wa mkoa Mtwara kuanzia tarehe 21/08/2023 na kumalizika tarehe 25/08/2023.

NeST (National e-procurement system Tanzania) ni mfumo mpya wa manunuzi ya umma kielotroniki ambao utanza kutumika kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ukichukua nafasi ya mfumo wa awali ujulikanao kama TANePS baada ya serikali kuona kwamba mfumo huo ulikuwa na mianya inayochelewesha huduma.

Waratibu wa mafunzo hayo waliwataka washriki wa mafunzo hayo kuzingtia kwa makini ili waweze kuufanyia kazi watakaporejea kwenye vituo vyao kwani hakutakuwa na manunuzi ya umma yatakayofanyika nje ya mfumo wa NeST.

Aidha, waratibu ho walisisitiza kuwa faini ya milioni 10 itatozwa kwa watakaofanya manunuzi ya umma nje ya mfumo wa NeST. Akizungumza kwa niaba ya Halmashauri ya Mji Nanyamba, afisa manunuzi Bw. Seif Mrisho alielezea faida za mfumo huo ikiwemo uwazi wa tenda kwa wazabuni na kueleza kuwa Halmashauri ya Mji Nanyamba iko tayari kuanza kutumia mfumo mpya wa NeST.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.