• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA MTWARA VIJIJINI YARIDHISHWA NA UBORA WA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI HINJU

Posted on: January 10th, 2025

Katika kufanikisha shule mpya ya Sekondari Hinju iliyopo kata ya Hinju inajengwa kwa ustadi na ubora wenye viwango unaotakiwa na Serikali leo tarehe 10/1/2025 kamati ya Siasa Mtwara Vijijini imetembelea na kuona hali ya ujenzi wa shule hiyo.

Akisoma taarifa ya mradi wa ujenzi wa shule hiyo mpya Mkuu wa  Shule ya Hinju Mwl Fidelia E. Kagombe alisema kuwa kupitia mradi wa matokeo ya Utekelezaji wa Mpango wa Uboreshaji wa Elimu ya Sekondari Nchini (SEQUIP awamu ya tatu) Halmashauri ya Mji Nanyamba ilipokea kiasi cha shilingi milioni mia tano sitini elfu laki tano hamsini mbili mia nane ishirini na saba (560,552,827).

Hadi kamati ya siasa inatembelea mradi huo kuona hali ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi inatekelezwa ipasavyo ziara hiyo ikiongozwa na Katibu Mwenezi wa Mtwara Vijijini Ndg Hamisi M. Wanyama wameridhishwa na ubora wa mradi huo na thamani ya fedha inavyotumika inaendana na thamani yake.

Aidha aliendelea kwa kusema kuwa ubora huo na miradi mingine inayoendelea kujengwa iendelee kusimamiwa ipasavyo, mradi huo wa shule ya Hinju unatarajiwa kukamilika tarehe 31/1/2025 ili uanze kutumika, mradi huo miundombinu yake ni kama kichomea taka, tank la maji la Ardhini, matundu nane ya Vyoo, chumba cha Tehama, jengo la Maktaba, jengo la Maabara ya Fizikia, Biolojia na Kemia, jengo la utawala pamoja na vyumba vya madarasa manne.

Kamati ya siasa kata ya Hinju ikiongozwa na Diwani wa kata hiyo Mhe Ngongo ameishukuru Serikali chini ya Rais Dkt Mhe @samia_suluhu_hassan na Mbunge wa jimbo hilo mhe @chikota_abdallah kwa juhudi zao za kuwaletea maendeleo kwenye kata hiyo.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.