• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KIKAO CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA VIASHIRIA VYA MKATABA WA AFUA ZA LISHE ROBO YA NNE CHAKETI.

Posted on: July 24th, 2025

KIKAO CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA VIASHIRIA VYA MKATABA WA AFUA ZA LISHE ROBO YA NNE CHAKETI.

Afisa Tarafa wa Nanyamba kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe Abdallah Mwaipaya leo tarehe 25 /7/2025 ameshiriki kikao cha tathimini ya utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa afua za lishe ngazi ya kata robo ya nne katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Seif Nanyembe amepongeza jitihada zinazofanywa na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kwa Kushirikiana na Ofisi ya Mganga Mkuu kitengo cha Lishe chini ya Afisa lishe Pilly Abdul kwa jitihada zinazofahyika katika utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa  afua za lishe kwa kata zote 17 zilizopo Halmashauri ya Mji Nanyamba.

Aitha ndugu Seif Nanyamba amewapongeza watendaji wa kata kwa jitihada wanazofanya katika kutekeleza viashiria vya Mikataba ya Afua za lishe kwa kuthamini jitihada hizo.

Ofisi ya Mganga Mkuu Kitengo cha Lishe kimewapatia vyeti maalumu Watendaji wote kama ishara ya kuthamini mchango wao katika Shughuli za lishe.

Mbali na hayo Ndugu Seif Nanyembe amenukuliwa akisema kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Ndugu Abdallah Mwaipaya amepokea Mahindi kutoka Chama kikuu cha ushirika (MAMCU) ambayo yatapelekwa shule mbalimbali kwenye kila kata Kama jitihada za kuunga mkono jitihada za afua za lishe.

Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mji Nanyamba Ndugu Walyama Tundosa amewapongeza watendaji hao katika jitihada wanazozifanya waongeze juhudi kufikia lengo la Serikali lililokusudiwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WAGOMBEA MBALIMBALI WARUDISHA FOMU ZA UGOMBEA

    August 27, 2025
  • WAGOMBEA MBALIMBALI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UGOMBEA WA UDIWANI

    August 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.