• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KILA LA KHERI DARASA LA SABA- ENG. MSHAMU ALI MUNDE

Posted on: September 11th, 2024

Jumla ya Watahiniwa 2,566 wavulana 1,126 na wasichana 1,440 sawa na Mikondo122 wanafunzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba wanatarajia kufanya mtihani wa Taifa wa kuhitimu darasa la saba utakaoanza kufanyika tarehe 11 na 12 Septemba 2024 kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)

Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani Halmashauri ya Mji Nanyamba, Mhandisi Mshamu A. Munde, amebainisha kuwa Mtihani huo wa Taifa unajumuisha shule za msingi 64, ikiwa shule zote ni za Serikali hakuna shule ya Mtu Binafsi.

Ameeleza kuwa, tayari maandalizi yote yalifanyika kwa mujibu wa taratibu za Mitihani ya Taifa huku wanafunzi na walimu wameshapewa mafunzo ya usimamizi wa mtihani huo.

Mwenyekiti huyo wa kamati ya Mitihani Mhandisi Munde amewataka wasimamizi wa mitihani kuzingatia Kanuni, Sheria na Taratibu wakati wote wa mitihani na kutokujiingiza kwenye aina yoyote ya vitendo vya udanganyifu kwa kuwa, lengo la mitihani hiyo ni kuwapima wanafunzi kulingana na kile walichojifunza kwa miaka yote saba wakiwa katika shuleni zao.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Divisheni ya Elimu Msingi na Awali Mwalimu Joseph Mhagama amesema kuwa walimu wamewaandaa wanafunzi hao vema kisaikolojia, kiakili na kimwili ili kuwajengea uwezo wa kujiamini wakati wote wa mitihani yao kwa kuwa mtihani huo ni sawa na mitihani mingine waliyokuwa wakifanya mara Kwa mara Waheshimiwa Madiwani, Menejimenti na Watumishi wa Mji Nanyamba unawatakia wanafunzi wote kila la kheri katika mitihani yao

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.