• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KILELE CHA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI

Posted on: August 7th, 2025



Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Unyonyeshaji maziwa ya Mama Duniani, Halmashauri ya Mji Nanyamba leo tarehe 07 Agosti 2025, imetembelea kata ya Nitekela kijiji cha Maendeleo na Nitekelea Mjini kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa mtoto mchanga na mchanga anayeendelea kukua.

Mgeni rasmi katika tukio hili alikuwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Nanyamba, Dkt. Dickson Masale, akiambatana na timu ya wataalamu Lishe Halmshauri ya Mji Nanyamba  Bi Pilly Abdul na Bi Doris Mselela

Katika hotuba yake, Dkt. Masale alieleza kuwa unyonyeshaji wa maziwa ya mama ni msingi muhimu wa afya ya mtoto, hasa katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo. Alisisitiza kuwa watoto wanaonyonyeshwa maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya kwanza huwa na kinga imara dhidi ya maradhi, ukuaji mzuri wa mwili na ubongo, na hupata ukaribu wa kihemko na mama wao.

Elimu iliyotolewa Wakati wa maadhimisho haya, wataalamu walitoa elimu juu ya:

✅ Umuhimu wa kumpatia mtoto maziwa ya kwanza ya mama baada ya kuzaliwa 

✅Unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee bila ya kitu chocjote kwa miezi 6 ya mwanzo

✅ Jinsi ya kunyonyesha mtoto na mikao mizuri ya kumuweka wakati wa kunyonya

✅ Madhara ya unyonyeshaiji Mbaya kwa mtoto

✅ faida ya unyonyeshai kwa mtoto na Mama

Kilele hicho kimeambatana na upimaji wa Hali ya lishe kwa watoto na utoaji wa Minyoo ya Tumbo na Matone ya Vitamini A 

Wananchi wa kata ya Nitekela walipata fursa ya kuuliza maswali na kushiriki majadiliano yaliyolenga kubadilisha mitazamo na kuimarisha tabia chanya kuhusu unyonyeshaji.

Kaulimbiu ya mwaka 2025:

"Thamini unyonyeshaji: Weka mwzingira wezeshi kwa mama na mtoto''

Maadhimisho haya yameonesha dhamira ya dhati ya Halmashauri katika kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya afya bora kuanzia siku ya kwanza ya maisha yake.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • KILELE CHA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA MJI NANYAMBA YAHITIMISHWA ZAIDI

    August 06, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.