• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

KITUO CHA AFYA MAJENGO WAKABIDHIWA GARI YA WAGONJWA

Posted on: December 29th, 2024


Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Mhe Abdallah Dadi Chikota katika kuhakikisha huduma ya Afya inapatikana sehemu zote za kutolea huduma ya Afya vizuri Jana tarehe 27/12/2024 amekabidhi gari ya wagonjwa katika kituo Cha Afya Majengo kata ya Njengwa.

Akikabidhi gari ya wagonjwa mbele ya Wananchi alisema kuwa gari hiyo si yake bali gari ya Wananchi inapaswa kutunzwa kwa kila mwananchi ili isaidie kusudio ya huduma hiyo alimalizia kwa kusema maneno hayo.

Kwa upande wa Diwani wa Kata ya Njengwa Mheshimiwa Moza Kapela alimshukuru Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Mbunge kwa kuona umuhimu wa kuleta gari hiyo ili iweze kutumika katika kituo hicho Cha Majengo.



Nae Mganga Mfawidhi w kituo hicho Dkt Jumanne R. Salum ameishukuru Serikali kwa kuona umuhimu wa kuwaletea usafiri huo hakusita kueleza kuwa maelekezo yote aliyopewa atayafanyia kazi ikiwa kafanyia matengenezo na kukaa kituo gari hiyo na kutotumia nje ya matumizi husika.

Baadhi ya Wananchi waliokuwa katika hafka hiyo ya makabidhiano ya gari hiyo wamesema kuwa hawana Cha kuwalipa viongozi hao bali watawalipa kwa vitendo muda ukifika

Halmashauri ya Mji Nanyamba ina jumla vituo vya vya Afya vinne vinavyotumika na Hospital moja katika vituo vituo hivyo vya Afya viwili vina magari ya wagonjwa na hospital Mhe Chikota alisisita wataendelea kupambana kila kituo cha afya kuhakikisha kinakuwa na gari yake ya wagonjwa.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    June 05, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.