• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mjini Nanyamba

Posted on: March 8th, 2019

Siku ya wanawake duniani maarufu kwa jina la ‘’Womens Day’’ imeadhimishwa katika Halmashauri ya Mji Nanyamba, ambapo watumishi na wadau mbalimbali wameshiriki katika kufanya usafi katika kituo cha Afya Dinyecha.

Mgeni rasmi alikuwa makamu mwenyekiti Mhe Diwani Maliki H Majali, ambapo pamoja na mambo mengine alitembelea wodi la wazazi  na kugawa zawadi kwa akina mama mbalimbali waliojifungua katika siku hii.

Aidha akizungumza na wadau mbalimbali wakiwamo watumishi wa Halmashauri, Wanafunzi wa Sekondari ya Nanyamba Day, Viongozi mbalimbali na akina mama waliokuwepo katika eneo hilo, alikemea vikali unyanyasaji wa wanawake katika jamii, maofisini na hata katika maeneo ambayo huduma mbalimbali zinatolewa.

Awali Mhe. Diwani alizungumzia mambo mbalimbali ambayo kwa namna moja au nyingine yamekuwa kikwazo katika kumkomboa mwanamke na kuitaka jamii ibadilike, mfano unyanyasaji wa kijinsia, kutopewa nafasi sawa ya kusoma kwa mototo wa kike na kutokuwepo kwa fursa sawa za kimaendeleo miongoni mwa wanajamii wenyewe, licha ya serikali kupambania usawa.


Mhe Diwani Maliki H Majali akigawa zawadi ya sabuni kwa akinamama waliojifungua siku ya wanawake duniani kitu cha Afya Dinyecha.




Mhe Diwani Maliki H Majali akiwa katika picha ya pamoja na watu mbalimbali waliokuwepo katika maadhimisho ya siku hii ya wanawake duniana.




Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Ndugu Geophrey Martini, akimpa zawadi mwanafunzi Rosemary Hassan aliyejibu swali kiufasaa linalohusu maswala ya rushwa, ambalo liliulizwa na Mgeni rasmi Mhe Diwani Maliki H Majali.




Mhe Diwani Maliki H Majali akimpa zawadi ya redha mwanafunzi Rosemary Hassan aliyejibu swali kiufasaa linalohusu maswala ya rushwa siku ya maadhimisho ya wanawake duniani

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.