• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Maandalizi Nanenane Ngongo yapamba moto.

Posted on: July 17th, 2017

Katika kuhakikisha maonesho ya siku ya Nanenane  mwaka huu yanakuwa ya mfano wa kuigwa kama kauli mbiu ya mwaka huu inayosema "Zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi ili kufikia uchumi wa kati "Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Ndugu, Oscar .A. Ng'itu,(watatu kulia), Wakuu wa Idara mbalimbali na Vitengo, leo wametembelea eneo la jengo la Halmashauri hiyo lililopo Ngongo mkoani Lindi ili kujiridhisha na shughuli mbalimbali za maandalizi ya maonesho ya siku ya Nanenane ambayo Kitaifa mwaka huu yanafanyika Mkoani Lindi kwa mara ya nne mfululizo.

Aidha watendaji hao wakuu wakiwa katika jengo hilo la Halmashauri ya Mji Nanyamba, wamejionea namna Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika pamoja na Idara ya Mifugo na Uvuvi zilivyojipanga vizuri katika Maonesho hayo ambapo Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika Ndugu, Martina Pangani, Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Ndugu, Eliasi Matoja pamoja na Afisa Kilimo Bwana,Michael  Kigosi waliwatembeza katika maeneo mbalimbali ya vipando na mabanda ya mifugo vilivyopo katika jengo hilo ikiwa ni pamoja na bustani za mboga mboga, matunda, eneo la ufugaji wanyama na bwawa la kufugia Samaki.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba akiongea na wakuu wa Idara na Vitengo, aliagiza  Idara zote kuhudhuria na kuandaa maonesho ya shughuli za kila Idara ikiwa ni pamoja na kuwaomba wadau mbalimbali wa maendeleo, vikundi na Taasisi mbalimbali kushiriki maonyesho hayo katika jengo la Halmashauri ya Mji Nanyamba ambayo yataanza rasmi tarehe 1/8/2017 na kufikia kilele tarehe 8/8/2017.                          Kwa matukio katika picha bofya hapa


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.