• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Mafunzi ya kanuni za kudumu yawaamsha Madiwani Nanyamba

Posted on: May 5th, 2018

MADIWANI wa halmashauri ya mji wa Nanyamba wamepewa mafunzo ya kanuni za kudumu na utawala bora ili waweze kutumia mbinu walizofundishwa kujenga ushwawishi kwa wananchi kushiriki vyema katika mchakato wa maendeleo.

                                    Waheshimiwa madiwani pichani wakifuatilia mafunzo kwa umakini zaidi

Akiongea na Afisa Habari wa Mji, mmmoja ya wawezeshaji wa mafunzo hayo Wakili Prosper Kisinini ambaye pia ni mwanasheria wa Halmashauri ya Mji Nanyamba, amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea viongozi hao mbinu za ushawishi kwa kuwashirikisha wananchi katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Aidha, kuwajengea ufahamu juu ya kanuni za kudumu ambazo hutumika kuendesha vikao mbalimbali kwa ngazi ya Halmashauri, Kata na Mitaa.

                  Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Nanyamba, Mhe. Malik Majali akifunguo mafunzo ya kanuni za kudumu


Afisa habari pia amezungumza na baadhi ya madiwani walioshiriki katika mafunzo hayo ambapo mbali na kuipongeza Halmashauri kwa kuwajengea uwezo katika utendaji kazi katika majukumu yao ya kila siku kutokana na kanuni na miongozo mbalimbali lakini pia yamewawezesha kuwasaidia kutambua mipaka ya kazi kati ya wenyeviti wa Serikali za mitaa na madiwani.


Mafunzo hayo kwa madiwani Nanyamba mji yameandaliwa na halmashauri ya Mji Nanyamba chini ya Idara ya Utumishi na Utawala pamoja na Kitengo cha Sheria..

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.