• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA MJI NANYAMBA YAHITIMISHWA ZAIDI

Posted on: August 6th, 2025


Mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata Halmashauri ya Mji Nanyamba yahitimishwa rasmi leo, tarehe 6 Agosti 2025, Mafunzo hayo yalifanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa halmshauri yakilenga kuwajengea uwezo wahusika kuhusu majukumu yao wakati wa uchaguzi Mkuu 2025.

Mgeni rasmi katika hotuba ya kufunga mafunzo hayo Msmamizi Msaidizi ndugu Joseph C. Mhagama  aliwahimiza wasimamizi hao kuwa waadilifu, waaminifu na wazingatie sheria, kanuni na miongozo ya uchaguzi na kutoa mafunzo kwa wasimamizi wa vituo, wasimamizi wasaidizi na makarani kwa weledi.

Pia mgeni rasmi aliwasisitiza kusimamia vifaa na rasilimali zote walizopatiwa pamoja na kuhakiki vifaa hivyo kabla na baada ya kutolewa.Aidha, mgeni rasmi aliwapongeza Maafisa wote wa uchaguzi wa jimbo la Nanyamba pamoja na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kwa utulivu mkubwa toka siku ya kwanza ya mafunzo hayo.

Kwa upande wao, washiriki wa mafunzo hayo walieleza kuwa wamefaidika sana kwa kupata uelewa wa kina kuhusu mchakato mzima wa uchaguzi, na wako tayari kutekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa.

Uchaguzi Mkuu 2025 kauli Mbiu isemayo ''Kura yako ni haki yako jitokeze kupiga kura''


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • KILELE CHA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI

    August 07, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA MJI NANYAMBA YAHITIMISHWA ZAIDI

    August 06, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.