• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAFUNGULIWA RASMI.

Posted on: August 4th, 2025

Leo tarehe 04 Agosti 2025, mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata yamefunguliwa rasmi katika ukumbi wa halmashauri Mji Nanyamba.

Mafunzo haya ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2025, yakiwa na lengo la kuwajengea uwezo wasimamizi wasaidizi katika kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadilifu, na kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Ndg Hashimu Kazoka  ambaye Msimamizi Wa Uchaguzi Jimbo la Nanyamba katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa watendaji hao kuzingatia misingi ya haki, usawa na uwazi katika utekelezaji wa majukumu yao.

"Mnafanya kazi muhimu sana kwa taifa letu. Uchaguzi ni moyo wa demokrasia, hivyo mafunzo haya yawatayarishe kisaikolojia na kitaalamu ili kutekeleza kazi zenu kwa ufanisi na bila upendeleo," alisema Mgeni Rasmi.

Aidha, alitoa wito kwa washiriki wote wa mafunzo hayo kuhakikisha wanazingatia maadili ya kazi, kuepuka upendeleo wa aina yoyote na kutunza siri za uchaguzi kwa mujibu wa sheria.

Mafunzo hayo yatafanyika kwa muda wa siku tatu kuanzia leo tarehe 4-6 Agosti 2025 yakijumuisha mada mbalimbali za sheria za  uchaguzi za mwaka 2025

Mafunzo haya yanajumuisha wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoka kata zote 17 ndani ya halmashauri na yanatarajiwa kuleta ufanisi mkubwa katika uendeshaji wa uchaguzi huo.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WAGOMBEA MBALIMBALI WARUDISHA FOMU ZA UGOMBEA

    August 27, 2025
  • WAGOMBEA MBALIMBALI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UGOMBEA WA UDIWANI

    August 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.