Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Mhandisi Mshamu Munde Mapema hivi leo amefungua Mafunzo Maalumu yaliyoandaliwa na kitengo cha biashara na uwekezaji kwa Watendaji wa Kata na Vijiji vyote vilivyopo Halmashauri ya Mji Nanyamba lengo likiwa ni Kuwajengea uwezo watendaji hao usajili wa Majengo kwenye Mfumo wa Tausi.
Ambapo Wananchi wanatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo ili waweze kusajiliwa
Namba au kitambulisho cha Utaifa (Nida)
Namba ya simu inayopatika kwa ajili ya kupokea ujumbe
Mita Namba (kwa wenye Nyumba zenye umeme)
zoezi hilo litanendelea kwa Wiki mbili kabla ya kutamatika kwake.
Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya MjIi Nanyamba Awetaka watendaji hao utekelezaji mzuri wa majukumu yao wakiwa katika maeneo yao ya kazi.
NANYAMBA, MTWARA.
Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,
Simu: +255
Simu:
Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz
Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.