• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

MAFUNZO YA UWEKEZAJI KATIKA DHAMANA YA SERIKALI KUTOKA BENK KUU TAWI LA MTWARA

Posted on: December 10th, 2024


Maafisa kutoka Bank Kuu ya Tanzania tawi la Mtwara leo tarehe 10/12/2025 wametoa elimu kwa watumishi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba ya uwekezaji katika dhamana ya serikali, ambapo wamesema kuna aina mbili ya dhamana za serikali yaani Dhamana za muda mfupi na Dahamana za muda mrefu(Hati fungani). Akitoa mafunzo hayo kwa watumishi wa Mji Nanyamba Afisa toka Bank Kuu ya Tanzania tawi la Mtwara ndugu Simon Kessy amesema kuwa dhamana za muda mfupi huiva ndani ya mwaka mmoja, Kwa kawaida huuzwa kwa bei chini ya shilingi 100 (Discount) na wakati wa kuiva mwekezaji hulipwa shilingi 100. Kiwango cha chini cha kuwekeza katika dhamana hizi ni shilingi 500,000 (Shilingi Laki Tano za Tanzania) na Dhamana za muda mfupi zinazotolewa na Benki Kuu ya Tanzania zinaiva katika vipindi vinne: siku 35, siku 91, siku 182 na siku 364.Dhamana za muda mrefu (Hati fungani) hutolewa kwa ajili ya kugharamia hasa miradi ya maendeleo.



Hati fungani za Serikali za muda mrefu zinazotolewa na Benki Kuu ya Tanzania kwa niaba ya serikali kwa sasa, zinaiva katika vipindi saba: miaka 2, miaka 5, miaka 7, miaka 10, miaka 15, miaka 20, na miaka 25. Zinatolewa katika kiwango cha riba isiyobadilika

Dhamana za Serikali za Muda Mfupi na za muda mrefu zina faida zifuatazo kwa mwekezaji:

• Ni salama kwani Serikali haitarajii kukiuka matengenezo ya wadai wake wakati wa malipo.

• Zinahamishika, hivyo mwekezaji anaweza kuziuza kabla ya muda wake wa kuiva kama anataka kufanya hivyo.

• Dhamana za Serikali zinaweza kutumika kama dhamana kwa ajili ya mikopo.

• Dhamana za Serikali zina kiwango cha faida inayoridhisha.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.