• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Magufuli msamaha kwa Kangomba.

Posted on: April 2nd, 2019

RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewahakikishia na kuwatoa hofu wakulima wa zao la korosho nchini kuwa, watalipwa fedha zao bila wasi wasi wowote.

Hayo yamesemwa leo na Rais huyo wakati wa  uzinduzi  na uwekaji na jiwe la msingi katika uwanja wa ndege wa Mtwara uzinduzi ambao umefayika katika viwanja hivyo.

Wakulima waliohakikishwia kulipwa ni pamoja na wale waliokuwa wakidaiwa kununua korosho kinyume na sheria maarufu kama wafanyabiashara wa ‘Kangomba.’

Aidha ahadi hiyo imewagusa pia wakulima ambao korosho zao ni zaidi ya kilo 1500 na kuendelea ambao kwa idadi yao wanakadiriwa kuwa 18 elfu wakati huo huo waliokuwa wananua kinyume na taratibu ni zaidi ya 700.

Hata hivyo serikali imetoa onyo kwa  wanunuzi hao wa kangomba kuacha vitendo hivyo na kwamba msimu mwingine haitofumbia macho vitendo hivyo.

Rais huyo alisema kuwa, katika msimu huo serikali iliamua kununua korosho hizo baada ya kuona wanunuzi wanataka kununua kwa bei ya chini kitendo ambacho kinawanyima wakulima.

“Kunuuna korosho kwa bei ya chini ni kuwanyonya wanyohge kwahiyo serikali ikaona ipo haja ya kununua korosho hizo ili kuwasaidia wakulima kupata haki zao vizuri”,Alisema DK. Magufuli

Hata hivyo ametoa agizo kwa viongozi katika mikoa yote inayolima zao hilo kuhakikisha wanasimamia zao hilo ili kumsaidia wakulima ili wapate stahiki zao.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.