• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

MAHAFALI YA PILI YA KIDATO CHA SITA SHULE YA SEKONDARI DINYECHA YAFANA

Posted on: April 12th, 2025

Shule ya Sekondari Dinyecha iliyopo kata ya Dinyecha leo tarehe 12/4/2025 wamefanya Mahafali ya 2 toka ianzishwe elimu ya Kidato cha tano na sita, ambapo katika Mahafali hayo yameongozwa na Mgeni Rasmi Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Mhe @chikota_abdallahAkisoma Taarifa ya shule hiyo Mkuu wa shule ya Dinyecha Mwl Mwajuma Mnayahe aliishukuru Serikali kwa kuleta Miundombinu bora yenye thamani ya bilioni 1.2 kwaajili ya kidato cha tano na sita, pia Mwl Mnayahe hakusita kutoa changamoto ya upungufu wa walimu na Ujenzi wa Uzio wa shule kutokana na shule hiyo kuwa ya wasichana tuu wa kidato cha tano na sita.Nae Mis Hapiphania Severine kwaniaba ya wanafunzi wanaohitimu mwaka 2025 pindi anasoma risala hiyo wameishukuru Serikali kwa kujenga shule mbalimbali za kidato cha tano na sita nchi nzima bila kuangalia sehemu maalum, aliaongeza kwa kwa kusema Serikali ya awamu sita wanamuomba Rais Mhe Dkt @samia_suluhu_hassan kuwapatia Gari la kuwawezesha kulitumia katika Shughuli mbalimbali kama vile kupeleka wagonjwa na safari za Kimasomo kwenye mitihani ya ujirani mwema.Aidha Mgeni Rasmi ambae ni Mbunge wa Jimbo la Nanyamba katika Hotuba yake amewapongeza walimu na watumishi wa shule hiyo kwa kufaulisha kwa daraja la kwanza na tatu na kuwaasa wanafunzi hao zaidi ya wanafunzi 200 waotarajia kufanya mtihani mwezi Mei kufuata nyenzo za wenzao waliopita kwa kufaulu vizuri.Mhe Chikota alisema kusema kuwa changamoto zote "mlizotoa nazitambua nitazidi kuzifuatilia kwa ukaribu ili wanafunzi na watumishi wa shule hii mfanye kazi zenu bila  kikwazo" alimalizia kwa kusema maneno hayo.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANA NANYAMBA

    April 15, 2025
  • MAHAFALI YA PILI YA KIDATO CHA SITA SHULE YA SEKONDARI DINYECHA YAFANA

    April 12, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    April 10, 2025
  • HAPPY KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.