• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI MUNDE AWAHIMIZA MAFUNDI MIRADI YENYE UBORA

Posted on: November 17th, 2024

HAKIKISHENI MIRADI INAKUWA YENYE UBORA NA KIWANGO MKURUGENZI MUNDE AWAHIMIZA MAFUNDI.

Ikiwani siku ya pili ya ziara ya Mkurugenzi wa Mji Nanyamba Mhandisi Mshamu Munde leo tarehe 17/11/2024 ya kutembelea na kuona miradi inayoendelea kutekelezwa katika sekta za afya na elimu kwa lengo la kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika miradi na kuweza kutatua mapema.



Mhandisi Munde amewaeleza mafundi hao ya kuwa watumie nafasi waliyopata kama wanajenga nyumba zao kwa kuzingatia ubora wa ujenzi na usafi unaotakiwa hususani hatua ya umaliziaji amesema ndiko kwenye changamoto kubwa na katoa rai kwa mafundi hao kuwa hatasita kumuondoa fundi kama hafuati hatua za ujenzi bora unaotakiwa na serikali.



Katika ziara hiyo Mhandisi Mshamu ametembelea shule ya msingi Mwenge yenye mradi wa madarasa Matundu ya vyoo na nyumba ya Mwalimu moja kwa mbili, ametembelea shule ya Msingi Mnongodi ambapo kuna mradi wa vyumba vya Madarasa na matundu ya Vyoo, shule ya msingi Likwaya katika mradi wa Vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo, shule ya Msingi, Nitekela ambako kuna ukarabati wa vyumba vya madarasavna ujenzi wa matundu vyoo, Kituo cha Afya Nyundo, ujenzi wa shule mpya ya mkondo mmoja Shule ya Msingi Nyundo B, shule mpya ya sekondari Hinju kupitia mradi wa uboreshaji wa elimu Sekondari (SEQUIP), na mradi wa mwisho ni wa nyumba ya Mwalimu moja kwa mbili na ujenzi wa shule ya kidato cha tano Mtiniko sekondari.


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

    June 05, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.