• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Nanenane kitaifa Ngongo, Maandalizi motomoto

Posted on: June 2nd, 2017

Wajumbe wa Maandalizi ya Maonesho ya Nanenae Kitaifa 2017 wakifuatilia mijadala wakati wa kikao kilichofanyika Ukumbi wa Naliendele uliko katika uwanja wa Ngongo Lindi


Mikoa ya Mtwara na Lindi imeendelea na maandalizi ya maonesho ya wakulima maarufu kama Nanenane yanayotarajiwa kufanyika Kitaifa katika viwanja vya Ngongo vilivyoko Lindi Agost 2017. Akizungumza baada ya kikao cha maandalizi kilichofanyika jana katika ukumbi wa Naliendele ulioko uwanjani hapo, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi amesema taratibu zote za maandalizi zinaenda vizuri.

Wajumbe kutoka mikoa yote miwili wanaonesha moyo  hali ambayo inaashiria uwezekano wa maonesho ya mwaka huu kuwa mazuri kuliko yote yaliyowahi kufanyika.

Mheshimiwa Zambi amesema miezi kadhaa nyuma eneo la viwanja hivyo lilikuwa katika hali isiyoridhisha lakini sasa hali ni nzuri na kila kukicha mabadiliko zaidi yanaendelea kuonekana.

Mwandishi wetu ameshuhudua Wakuu wa Wilaya na Wakutrugenzi wa halmashauri za wilaya mbalimbali katika mikoa hii miwili wakikagua maeneo ya halmashauri zao hali ambayo inaashiria uwezekano wa mambo kuwa mazuri zaidi kwa wakati.

Mikoa ya Mtwara na Lindi itakuwa ikiandaa kwa mara ya nne mfululizo maonesho haya katika ngazi ya kitaifa. Aidha katika maonesho ya mwaka jana Mgeni rasmi katika ufungaji wa maoenesho hayo alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

video ya tukio hilo hii HAPA...

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.