Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amefanya ziara ya kikazi Halmashauri ya Mji Nanyamba kutembelea na kukagua Miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika shule ya Sekondari Hinju na Shule ya Sekondari Amala ambapo amepongeza juhudi zinazofanya na Viongozi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba chini ya Mkurugenzi Mhandisi Mshamu Munde katika kusimamia Miradi ya Maendeleo katika ubora unao hitajika.
katika ziara hiyo iliyofanyika leo tarehe 10/6/2025 Mkuu wa Mkoa aliapata fursa ya kujionea Ujenzi wa Miundiombinu ikiwemo Madarasa, Ofisi za Walimu pamoja na Vyoo ambapo alioneshwa kuridhishwa na kasi ya utekelezaji na ubora wa kazi
NANYAMBA, MTWARA.
Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,
Simu: +255
Simu:
Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz
Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.