• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

SIKU YA MWANAMKE ANAYEISHI KIJIJINI.

Posted on: October 15th, 2023

VIDEO WANAWAKE WAKICHEZA KUFURAHIA SIKU YA MWANAMKE KIJIJINI



Halmashauri ya Mji Nanyamba yaadhimisha siku ya mwanamke anayeishi kijijini, maadhimisho yafanyika katika kijiji cha Majengo kata ya Njengwa huku mgeni rasmi akiwa ni diwani wa kata hiyo, Mhe. Moza Kapela.

Afisa maendeleo Halmashauri ya Mji Nanyamba, Bw. Keneth Msanchi aelezea juhudi zinazofanywa na serikali katika kumkomboa kiuchumi na kijamii mwanamke anayeishi kijijini hususani kwa Halmashauri ya Mji Nanyamba, ikiwemo kutoa pembejeo za kilimo bure hasa kwa msimu huu wa korosho. Aliendelea kwa kusema “serikali imetenga Bilioni 84 kwaajili ya mradi wa maji Makonde, utakaonufaisha kata 10 za halamshauri yetu hivyo kumtua ndoo mwanamke aishiye kijijijini, pia imeanzisha majukwaa ya uwezeshaji wanawake kiuchumi kuanzia ngazi ya kijiji.”

Nae mratibu wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Dawati la jinsia, Bi. Chipengwa Chisonjela aliwahimiza wanawake kuunda vikundi vya jukwaa la wanawake na kuvisajili vipate kutambulika rasmi ili waweze kunufaika na fursa zitakazojitokeza.

Kwa upande wa afya, Dkt. Shamila Athumani mganga wa kituo cha afya Majengo aliwataka wanawake pindi wapatapo ujauzito kuanza kliniki mara moja pia asisitiza umuhimu wa kujifungulia katika kituo cha afya na kuwataka waache tabia za kuwaomba wazee wao wawazalishe nyumbani.

Aidha, Mhe. Moza aligusia suala la elimu hasa kwa mtoto wa kike na kuitaka jamii kuhakikisha inawapatia haki ya elimu “Ni marufuku kumuozesha mtoto wa kike akiwa mdogo, wakina mama tusimae na kukemea.” Pia aliwataka wanawake kuwa na maamuzi kiuchumi kwani mwanamke ni kiungo kikubwa Kwa familia.

Oktoba 15, kila mwaka Tanzania huadhimisha siku ya kimataifa ya mwanamke anayeishi kijijini ikiwa ni utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa namba 62 lililopitishwa tarehe 18 Disemba 2007 kwa lengo la kutambua jitihada na mchango wa wanawake wanaoishi vijijini kwenye maendeleo ya jamii hususani katika nyanja za uzalishaji wa mazao ya Kilimo na uvuvi. Mwaka 2023 maadhimishi yanabebwa na kauli mbiu ya “Wezesha wanawaje kijijini kwa uhakika wa lishe na uendelevu wa familia.”


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.