• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

TASAF KUWAWAJIBISHA WANUFAIKA WALIOSHINDWA KUTEKELEZA UZALISHAJI WA RUZUKU WALIZOPOKEA.

Posted on: October 10th, 2023

Waratibu wa TASAF kutoka wilaya ya Mtwara, Halmashauri ya Mji Nanyamba pamoja na kamati za usimamizi ngazi ya jamii (CMC) leo tarehe 10/10/02023 wamefika kwenye kijiji cha Kiwengulo kilichopo kata ya Mnongodi na kijiji cha Nachuma kilichopo kata ya Kiromba kutembelea wanufaika pamoja na kukagua miradi iliyoanzishwa kupitia fedha za ruzuku walizopokea kwa awamu ya kwanza.

Halmashuri ya Mji Nanyamba ni miongoni mwa Halmashauri zinazotekeleza mpango wa kunusuru kaya masikini chini ya TASAF. Mapema mwaka huu TASAF ilitoa ruzuku ya uzalishaji kwa kaya maskini yenye lengo la kuwezesha kaya hizo kuongeza kipato, fursa na uwezo wa kugharamia mahitaji muhimu ya kibinadamu pamoja na huduma za elimu na afya. Kabla ya kupatiwa fedha hizo, TASAF iliwajengea uwezo juu ya namna ya kuzalisha kipato.

“Wote tunajua kuwa korosho ni zao la msimu sasa zile fedha mlizopatiwa na zitakazokuja awamu nyingine tena ni kwaajili ya kutekeleza lile wazo lako la biashara ili uwe na kipato endelevu uondokane na umasikini”. Alisema Bi. Maleso D. Chogo, Afisa ufuatiliaji wilaya ya Mtwara.

Nae Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Mji Nanyamba, Bw. Adamu Matinyi aliwaambia wanufaika hao kuwa haitakuwa busara wajumbe kutoka benki ya dunia wakifika kuwatembelea na kukuta hakuna mabadiliko ya hali zao kichumi. Aliongeza kwa kusema TASAF haitasita kuwachukulia hatua wanufaika walipokea fedha ya ruzuku ya uzalishaji pasipo kuzalisha kitu chochote.

Wanufaika wa TASAF walieleza namna walivyotumia fedha za ruzuku ya uzalishaji kwa kuanzisha miradi mbalimbali ikiwemo ufugaji wa mbuzi na kuku pia kilimo cha mbogamboga, biashara ya mghahawa wa chakula pamoja na kununua mashine kwaajili ya kukodisha wakati wa kipindi cha kupulizia dawa mikorosho. Pia waliiomba serikali kuwapelekea awamu ruzuku awamu ya pili ili waweze kuendeleza miradi yao waliyoianzisha.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.