• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU LISHE YA MAMA NA MTOTO

Posted on: July 22nd, 2025

TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU LISHE YA MAMA NA MTOTO


Timu ya lishe Mji Nanyamba ikiongozwa na Afisa Lishe Bi Pilly Mpelengani imefika kata yavChawi na Chawi kwa lengo la  kuendelea na kampeni ya kuimarisha afya ya mama na mtoto.


Mama wajawazito wamepatiwa vipimo vya afya, elimu ya lishe bora na darasa la mapishi ya vyakula vya kuongeza damu.

“Mama mwenye lishe bora ni mtoto mwenye afya bora,” amesema Afisa Lishe Bi Pilly Mpelengani.


Kampeni hii imeendelea kugusa maisha ya kina mama na familia zao kwa kutoa maarifa ya afya bora kila siku.

Timu ya lishe imeendela kusisitiza umuhimu wa huduma za kina na ufuatiliaji wa afya kwa mama wajawazito ili kugundua mapema changamoto kama upungufu wa damu na kuzuia madhara yanayoweza kuepukika

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU LISHE YA MAMA NA MTOTO

    July 22, 2025
  • BI ZAINAB S MGOMI ATAMBULISHA RASMI MIRADI YA BOOST NAMTUMBUKA-NITEKELA

    July 22, 2025
  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA MAMA NA MTOTO

    July 21, 2025
  • BI ZAINAB MGOMI ASHIRIKI UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

    July 17, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.