• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA MAMA NA MTOTO

Posted on: July 21st, 2025

TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA MAMA NA MTOTO.


Leo tarehe 21 Julai 2025 Timu ya lishe kwa kushirikiana na wahudumu wa afya ya jamii imetembelea Kijiji cha Mpanyani kata ya Kiyanga katika kuendeleza kampeni ya kuimarisha afya ya mama na mtoto.


Katika zoezi hilo Mama wajawazito wamepatiwa huduma za uchunguzi wa hali upimaji wa wingi wa damu na Malaria pamoja na elimu ya lishe bora ili kupunguza changamoto za kiafya wakati wa ujauzito.


Mbali na vipimo, darasa la mapishi limefanyika likiwaelimisha kina mama kuhusu aina ya vyakula vinavyoongeza damu na virutubisho vinavyohitajika katika kipindi cha ujauzito ikiwa lengo kuu ni kuhakikisha mama anapata lishe yenye uwiano bora na hatimaye kujifungua mtoto mwenye afya bora.


Timu ya lishe imeendelea kusisitiza kuwa afya ya mama ni msingi wa familia yenye nguvu, na kila mama mjamzito anastahili huduma za kinga na ufuatiliaji wa afya kwa wakati. Zoezi hili pia limetoa nafasi kwa watoa huduma kugundua mapema changamoto kama upungufu wa damu na kuunganisha huduma za matibabu kwa waliosaidiwa.


Pongezi ziende kwa viongozi wa kijiji na wahudumu wa afya walioungana nasi kufanikisha huduma hizi, kampeni kama hizi ni sehemu ya jitihada za kuhakikisha hakuna mama anayepoteza maisha kwa sababu ya changamoto za ujauzito ambazo zinaweza kuzuilika.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU LISHE YA MAMA NA MTOTO

    July 22, 2025
  • BI ZAINAB S MGOMI ATAMBULISHA RASMI MIRADI YA BOOST NAMTUMBUKA-NITEKELA

    July 22, 2025
  • TIMU YA LISHE MJI NANYAMBA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA MAMA NA MTOTO

    July 21, 2025
  • BI ZAINAB MGOMI ASHIRIKI UZINDUZI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

    July 17, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.