• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

UFAHAMU MRADI WA KONGANI LA VIWANDA VYA KOROSHO ULIOPO MARANJE.

Posted on: January 5th, 2024

Bodi ya korosho Tanzania leo tarehe 05/01/2024 imefika Halmashauri ya Mji Nanyamba kuzungumza na waheshimiwa madiwani kuhusu mradi wa kongani la viwanda vya korosholililopo kijiji cha Maranje, kata ya Mtiniko unaotarajia kuongeza ubanguaji korosho nchini pamoja na kuzalisha bidhaa zingine zitokanazo na korosho kama vile mafuta ya ganda la korosho na mazao mengine ikiwemo ufuta.
Mkurugenzi wa bodi ya korosho ameeleza faida zitakazopatikana kutokana mradi huo ni pamoja na uhakika wa soko la korosho ghafi pamoja na korosho karanga.

“Mradi pia utaleta fursa za ajira zaidi ya 35,000 kwa wananchi wote hasa wanaozunguka eneo la mradi; pia Halmashauri itaongeza mapato kutokana na tozo mbalimbali na serikali itapata zaidi ya dola milioni 300 kwa miaka 10 toka kusimikwa kwa mradi.” Alieleza mkurugenzi wa bodi ya korosho.

Halmashauri ya Mji Nanyamba imetenga Ekari 1,571.78 kwaajili ya utekelezaji wa mradi huo ambapo ujenzi utahusisha: Viwanda 10 vya kubangua korosho ghafi jumla ya tani 300,000 kwa mwaka ambapo kila kimoja kitakuwa na uwezo wa kubangua tani
30,000 kwa mwaka; Viwanda vitatu vya kuchakata ufuta tani 300,000 kwa mwaka; Viwanda viwili wa kukamua mafuta ya ganda la korosho (CNSL) vyenye uwezo wa kuchakata maganda vote yatakayo zalishwa katika kongani hilo; Viwanda vya kuchakata korosho karanga zote zitakazobanguliwa katika kongani hilo; Viwanda vya kuchakata mabibo.

Pia mradi utahusisha ujenzi wa Maabara kwa ajili ya ufuta na korosho karanga; Maghala nane ambayo kila moja litakuwa na ukubwa wa mita za mraba 25,000; Jengo la utawala lenye gorofa tatu; Maeneo wazi manne ya kukaushia korosho ghafi tani 30,000; Karakana(garage) kwa ajili ya matengenezo ya mitambo na magari ya kongani; Kantini ya chakula; Zahanati kwa ajili ya kuhudumia wafanyakazi na wananchi wanaozunguka eneo la mradi.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.