• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

UJIO WA RAIS SAMIA WAJA NA NEEMA YA WATUMISHI 76 WA AFYA NA ELIMU NANYAMBA

Posted on: September 16th, 2023

Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Mchengerwa (Mb) leo tarehe 16/09/20203 amewaambia wananchi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kuwa serikali italeta watumishi 76 wa kada za afya na elimu ili kukidhi mahitaji yaliyopo. Hatua hiyo imekuja baada ya Mbunge wa jimbo la Nanyamba, Mhe. Abdallah Dadi Chikota kumueleza Raisi Samia kuwa pamoja na jitihada kubwa za serikali ya awamu ya sita kuboresha sekta ya elimu na afya kwa kujenga shule na hospitali za kisasa lakini bado Halmashauri hiyo inakabiliwa na upungufu wa watumishi katika sekta hizo.

Rais Samia Suluhu leo alisimama katika eneo la Mahakamani, Halmashauri ya Mji Nanyamba kusalimia mamia ya wananchi waliojitokeza kumlaki wakati akiendelea na ziara za kikazi katika mkoa wa Mtwara. Katika salam hizo, Mhe. Rais aliwataka wananchi kutumia vizuri miradi ya maendelo inayopelekwa katika Halmashauri hiyo ikiwemo kiwanda cha kubangua korosho kinachotarajiwa kujengwa eneo la Maranje ili kujipatia mafanikio kiuchumi na kijamii.

Katika hatua nyingine, Mhe. Raisi aliwataka wananchi hao kuitumia vizuri shule mpya ya ya wasichana kidato cha tano na sita kwa kuwapeleka watoto wa kike shule. Rais Samia pia aliongeza kwa kusema “Ni mpango wa serikali kuwa kila mkoa uwe na shule kubwa ya wasichana kwa mchepuo wa sayansi, na hapa Mtwara hivi karibuni itaanza kujengwa”.

Katika kuthibitisha ule usemi “Mgeni njoo, mwenyeji apone” Mbunge wa Nanyamba Mhe. Chikota alimuomba Mhe. Rais kuweza kuongeza bei ya zao la korosho ili wakulima waweze kunufaika na zao kwani ndilo zao la biashara wanalotegemeabkwa ustawi wa uchumi.



Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANA NANYAMBA

    April 15, 2025
  • MAHAFALI YA PILI YA KIDATO CHA SITA SHULE YA SEKONDARI DINYECHA YAFANA

    April 12, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    April 10, 2025
  • HAPPY KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.