• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

UTAMBULISHAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAENDELEA KWA SIKU YA PILI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

Posted on: July 24th, 2025



Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Bi Zainab Mgomi, Leo tarehe 23 julai 2025 ameendelea na zoezi la utambulishaji miradi ya maendeleo mpango wa BOOST kwa siku ya pili.Miradi imetambulishwa katika vijiji vya Hinju, Njengwa, Nyundo II na Niyumba.

Akizungumza katika zoezi la utambulisho miradi ya maendeleo iliyotambulishwa ni 

i/ Ujenzi wa majengo ya shule Mkondo Mmoja katika shule ya msingi Njengwa (chakavu), mradi ambao umetengewa pesa kiasi Cha Tsh milioni 314

ii/ Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo E/Awali katika Kijiji Cha kitachi mradi uliotengewa Tsh 67,300,000

iii/ Ujenzi wa madarasa 2 matundu 6 ya vyoo E/Awali na matundu 6 ya vyoo E/Msingi na ukarabati wa shule Kijiji Cha Nyundo II mradi uliotengewa 127,500,000

iv/ Ujenzi wa madarasa 2 matundu 6 ya vyoo E/Awali na matundu 4 ya vyoo E/Msingi na ukarabati wa shule katika Kijiji Cha Niyumba mradi uliotengewa 124,000,000

Mkurugenzi wa Mji amemshukuru Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta pesa za miradi ya maendeleo ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Ametoa wito kwa wananchi wa vijiji vyote kuipokea miradi kwa mikono miwili huku akiwasihi kushiriki kwenye kazi za awali kama vile kusafisha eneo la mradi, uchimbaji wa msingi na ujazaji kifusi ikiwa ni sehemu ya mchango wa nguvu ya jamii katika miradi ya maendeleo.

Aidha aliwakumbusha walimu viongozi na timu za vijiji kutumia mfumo wa manunuzi NeST wakati wa utekelezaji wa miradi lakini pia kuweka kumbukumbu ya matumizi yote ya pesa za  miradi na nyaraka zote za malipo kuhifadhiwa kwa usahihi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WAGOMBEA MBALIMBALI WARUDISHA FOMU ZA UGOMBEA

    August 27, 2025
  • WAGOMBEA MBALIMBALI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UGOMBEA WA UDIWANI

    August 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO NAFANA MJI NANYAMBA

    August 09, 2025
  • KIKAO CHA VIONGOZI WA SIASA JIMBO LA NANYAMBA

    August 08, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.