• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Vituo vya Afya vipya vitatu mbioni kufunguliwa

Posted on: June 10th, 2018

Serikali imeagiza kuanza kutolewa kwa huduma za afya katika kituo cha afya majengo, dinyecha na kiromba wilayani Nanyamba mkoani Mtwara ndani ya miezi mitatu kwa kuwa ujenzi wa majengo yake yote yapo katika hatua za mwisho.

Akitoa maagizo ya Serikali, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Zainab Chaula amesema hakuna haja ya kuchelewesha kutoa huduma za afya katika kituo cha afya majengo, dinyecha na kiromba kwa kuwa wananchi wanahangaika kuitafuta huduma hiyo mbali wakati miundombinu ya kituo hicho ipo katika hatua za mwisho.

“kwa sababu watu wanahitaji huduma, wanafanya mawasiliano sehemu nyingine ili kupata huduma ambayo hapa haipo, lakini ndani ya miezi mitatu lazima huduma zianze kutolewa, Mganga Mkuu wa Wilaya Nanyamba andaa andiko ili mchakato wa kuanzisha kituo uanze mara moja”

 Dkt. Chaula ametoa agizo hilo mbele ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Nanyamba, Mganga Mkuu wa Mkoa Mtwara, wataalam wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati akiongea na wananchi katika mkutano ulioandaliwa baada ya kukagua miundombinu ya kituo cha afya majengo.

Aidha, Chaula amesema wakati Serikali inawapangia vituo watumishi wapya 6,180 imewaweka katika mpango wa kuwapangia vituo watumishi wapya katika vituo vipya vinavyokamilika kwa wakati, lakini pia ametoa angalizo kwa wananchi, watumishi na viongozi wote wilayani Nanyamba kuweka mazingira rafiki ili watumishi wapya wasipatwe na hali ya kuyakataa mazingira ya kazi bali watoe motisha kutatua changamoto hiyo.

Hassan Mnengu ni mwananchi wa kijiji cha majengo anasema huenda usumbufu waliokuwa wakiupata utakwisha kwa kufuata huduma za afya mbali na kijiji chao kwa hivi sasa.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.