• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Wanamajengo Wamkuna Mkuu Wa Mkoa

Posted on: April 17th, 2018

Na Afisa habari.

Wananchi wa kijiji cha Majengo kata ya Njengwa, Halmashauri ya mji Nanyamba wamemfurahisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasuis Gaspar Byakanwa kwa namna ambayo wamekuwa wakishiriki katika ujenzi wa kituo cha Afya cha Majengo.

Akihutubia wananchi wa kijiji cha majengo, Mkuu wa Mkoa amewasifu na kuwapongeza wananchi hao kwa juhudi  wanazozifanya kushirikiana na serikali ya awamu ya tano katika shughuli za maendeleo.  Pamoja na hayo, Mkuu wa Mkoa ametoa mifuko 200 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wanaume katika kituo cha afya hicho.

“Nimevutiwa na kufurahishwa na namna wananchi wa kijiji cha Majengo mnavyojitolea katika shughuli za maendeleo. Nimesikia mnaomba muongezewe   jengo la wodi ya wanaume, Mimi ninatoa mifuko 200 ya saruji kama mchango wa ujenzi wa jingo hilo,” Aliyasema Mkuu wa Mkoa Aprili 17, 2018 alipokuwa anahitimisha ziara ya siku moja katika Halmashauri ya mji Nanyamba.

Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa mkoa alitembelea sahemu tofauti kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea katika Halmashauri ya mji Nanyamba. Akiwa  Nanyamba mkuu wa mkoa alikagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi, mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Dinyecha, ujenzi wa shule ya Sekondari Dinyecha na kutembelea chuo cha  maarifa ya nyumbani  kinachomilikiwa na shirika la  kidini kabla ya kwenda kijiji cha Majengo  ambako alihitimisha ziara yake.

               Mkuu wa Mkoa Mhe. Gelasius Gaspar Byakanwa akipokea maelezo kutoka kwa Mhandisi alipokuwa anakagua ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi. 

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.