• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WA NANYAMBA WASHIRIKI USAFI

Posted on: August 30th, 2025

Watumishi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba leo wamefanya zoezi la jogging lililopambwa na shughuli za usafi katika kituo cha mabasi cha Nanyamba. Zoezi hilo limehusisha idara mbalimbali za halmashauri kwa lengo la kujenga afya, mshikamano miongoni mwa watumishi na kuhamasisha jamii kushiriki katika kulinda mazingira.

Mbali na jogging, watumishi hao wameshiriki kusafisha maeneo ya kituo cha mabasi kwa kufagia, kuzoa taka na kusafisha mifereji, hatua ambayo imepokelewa kwa furaha na wananchi waliokuwepo eneo hilo.

Akizungumza baada ya zoezi hilo, kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba, Ndg. Walyama Sospeter Tundosa, aliwapongeza watumishi kwa mshikamano na ushirikiano waliouonesha, akibainisha kuwa michezo na usafi ni nyenzo muhimu za kujenga afya bora na mazingira safi. Pia aliahidi kuwa halmashauri itaendelea kuunga mkono shughuli hizo ili ziwe endelevu.

Kwa upande wake, Afisa Utumishi wa Halmashauri, Bi. Susan Michael Ndawi, aliwapongeza watumishi kwa kujitolea kushiriki zoezi hilo na akasisitiza kuwa mshikamano, nidhamu na ushirikiano wa aina hiyo huongeza ufanisi wa kazi na kulijenga vyema taifa.

Wananchi wa Nanyamba nao wametoa pongezi kwa watumishi hao kwa kuonesha mfano wa vitendo katika suala la utunzaji wa mazingira na kuahidi kushirikiana nao mara kwa mara kuhakikisha mji unakuwa safi na wenye mandhari bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 04, 2025
  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU August 06, 2025
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • WADAU WA KOROSHO WAKUTANA NANYAMBA KUJADILI TIJA YA MSIMU WA 2025/2026.

    October 03, 2025
  • MAADHIMISHO SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 22, 2025
  • MAOMBI YA KUPIGA KURA YA RAIS

    September 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    September 19, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.