• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI WA KILIMO MHE HUSSEN BASHE AKIONGEA NA WANANCHI WA NANYAMBA

Posted on: October 1st, 2024


Waziri wa kilimo Mhe @bashehussein akiongea na wananchi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba katika kijiji cha Maranje Kata ya Mtiniko leo tarehe 1/10/2024 amesema kuwa malipo ya korosho msimu wa mwaka 2024 yatalipwa moja kwa moja na Vyama Vikuu vya ushirika na si tena Vyama vya Msingi yaani AMCOS kuondoa ubabaishaji uliokuwa ukifanywa na vyama vya Msingi.



Hayo yamesemwa mbele ya wananchi hao mara baada ya kutembelea na kuona eneo la kongani ya viwanda lililoanza kutekelezwa kujengwa kwa kuanza na maghala mawili ya  tani 10000 kila moja.



Waziri bashe aliendelea kusema hadi kufika mwaka 2027 eneo hilo liwe lishakamilika ila kwa kuanza msimu wa mwaka 2025 kiwanda cha ubanguaji wa korosho cha tani 3000 kiwe kimeshakamilika aliongeza kwa kusema kuwa fedha zipo hadi mwaka huo zaidi ya bilioni 300 zinahitaji kukamilisha mradi huo.



Mheshimiwa Bashe ameiagiza Bodi ya korosho kuwa bega kwa bega na mkandarasi ili mradi huo ukamilike kwa wakati kiasi cha Shilingi Bilioni 7 zimeshaletwa kwaajili ya ujenzi wa kongani huku serikali ikiendelea kutafuta wawekezaji wengine.



Kusudio la mradi huo wa kongani ni mahsusi kwa serikali korosho ghafi zibanguliwe haoa hapa nchini zote na ziweze kusafirishwa nchi mbalimbali korosho zilizopekiwa kwaajili ya kuliwa alisema waziri Bashe.



Mwisho aliwapongeza wananchi wa vijiji vya maranje na Tulia kata ya Mtiniko kwa kukubali kutoa maeneo yao kwa kufuta jasho na si fidia malipo yake watayaona vizazi vijavyo alimalizia kwa kusema maneno hayo


Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.