• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

ZAHANATI ARUSHACHINI YAZINDULIWA, YAANZA KUTIBU.

Posted on: September 30th, 2023

VIDEO YA SHEREHE ZA UFUNGUZI WA ZAHANATI YA ARUSHACHINI




Wakazi wa kijiji cha Arushachini kata ya Chawi, Halmashauri ya Mji Nanyamba leo wamejawa na furaha baada ya zahanati ya kijiji kuzinduliwa rasmi ikiwa ni hatua ya kuwaondolea adha ya kufuata huduma za matibabu vijiji vya jirani.Zahanati hiyo iliyokamilika kwa 98% na kugharimu milioni 43 za Kitanzania, ilianza kujengwa mwaka 2019 kwa nguvu za wananchi kushirikiana na Halmashauri ya Mji Nanyamba pamoja na wahisani akiwemo Mhe. Abdallah Dadi Chikota mbunge wa jimbo la Nanyamba ambae leo tarehe 30/09/2023 aliizindua kwa kukata utepe.

Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Nanyamba, Dkt. Vincent Kway alisema zahanati hiyo itaweza kuhudumia watu 1504 pamoja na wa maeneo jirani. Akizungumza na wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi huo, Dkt. Vincent aliwaambia kuwa zahanati hiyo ni yao hivyo wana haki ya kufahamu juu ya upatikanaji wa dawa, matumizi ya fedha na chochote kinachotendeka hapo.

Dkt. Elias Matoja, Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Nanyamba alimshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa vifaa vya shilingi milioni 10. Aliendelea kwa kusema “vifaa vya milioni tano vimeshafika, tuna vitanda viwili vya kulaza wagonjwa na kimoja cha kujifungulia wakina mama, tunasubiri vifaa vingine vikishafika wakina mama huduma zote mtapata hapa.”

Akizindua zahanati hiyo Mhe. Chikota aliwataka wananchi kutoa ushirikiano kwa watumishi wa afya, na kuwasihi kuelewa kuwa hiyo ni zahanati hivyo itakuwa ikifanya kazi kwa masaa maalumu isipokuwa ikitokea dharura. Pia aliahidi kusaidia kuboresha zahani katika kuifanya ya kisasa iweze kutoa huduma bora.

Naye Diwani wa kata ya Chawi, Mhe. Mwl. Mkoba alimshukuru Mbunge kwa moyo wake wa kujitolea pia aliwasifu wananchi kwa mshikamano katika kuhakikisha zahanati inakamilika.

Zahanati ya Arushachini kwa sasa ina mtoa huduma wa afya mmoja ambapo inatarajia kuajiri watumishi wengine kama ahadi ya waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi, Mhe. Mohamed Mchengerwa wakati wa ziara ya Mhe. Rais aliposimama Nanyamba kusalimia wananchi 16/09/2023.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.