• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

ZAIDI YA WANANCHI 800 WA MJI NANYAMBA KUNUFAIKA NA MRADI USAWAZISHAJI WA VIKOPE YA KONGWA TRACHOMA PROJECT.

Posted on: January 30th, 2025



Leo tarehe 30/1/2025 Taasisi isiyo ya Kiserikali ijulikanayo Kongwa Trachoma Project (KTP) Makao Makuu yake Kongwa Jijini Dodoma imezindua huduma ya usawazishaji wa Vikope katika kata ya Nyundo.

Mkurugenzi wa Kongwa Trachoma Project (KTP) Ndg Harran Mkocha amesema kuwa huduma kwa Mkoa wa Mtwara Halmashauri zilizonufaika na mradi huo ni Halmashauri ya Wilaya Nanyumbu, Halmashauri ya Mji Masasi, Halmashauri ya Mji Newala pamoja na Halmashauri ya Mji Nanyamba.Mkurugenzi huyi alisema kuwa kwa Mji Nanyamba Kata zote 17, vijiji na Mitaa itapitiwa na huduma hiyo nyumba hadi nyumba ni mradi utakaodumu zaidi ya mwaka mmoja na miezi nane zaidi ya Wananchi 800 wataoatiwa huduma hiyo ya usawazishaji wa vikope.Dkt Otilia Flavian Gowelle kwaniaba ya Mkurugenzi wa Idara ya Kinga kutoka @wizara_afyatz ameishukuru Taasisi ya Kongwa Trachoma Project kwa kutambua kutoa huduma kwenye magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kama vile Ugonjwa wa Trachoma, Dkt Otilia aliwahakikishia Taasisi hiyo kama wizara ya afya kuunga nao muda wote wanapohitaji msaada toka wizarani.Kwa upande wa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Dkt Benedicto Ngaiza aliwashukuru Kongwa Trachoma Project kwa kuja Mkoa wa Mtwara ili wasaidie wananchi wa mkoa huo alisisitiza kuwa kupitia Waganga wa Halmashauri husika watatoa ushirikiano muda wote ili huduma zitolewazo wananchi wanufaike kwasababu huduma hiyo ya usawazishaji wa Vikope ni bure hakuna gharama mwananchi anayochangia.



Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.