• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA MADARASA FEDHA ZA UVIKO19

Posted on: October 30th, 2021

HAFLA YA UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA MADARASA KWA FEDHA ZA UVIKO19


Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh Dunstan Kyobya amezindua mradi wa ujenzi wa madarasa 31 wenye

thamani ya Tsh 620000000/= (mia sita ishirini milioni) kutokana na fedha za UVIKO19 zilizotolewa na Mh Rais wa Jamhuri

ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani uliofanyika viwanja vya shule ya sekondari Nanyamba


Akizungumza katika hafla hiyo Mh Dunstan Kyobya amemshukuru Mh Rais kwa niaba ya wananchi

wa Halmashauri ya Mji Nanyamba kwa kuwapatia fedha hizo ambazo zitamaliza kabisa tatizo la madarasa

na madawati pia amewaasa wazazi na jamii kwa ujumla kujitolea katika shughuli mbalimbali wakati wa utekelezaji

wa mradi huo ili kuhakikisha mradi unakamilka kwa wakati


Katika uzinduzi huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Ndugu Thomas Edwin Mwailafu amemshukuru Mh Rais

wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa fedha hizo na ameahidi kuzisimamia kwa menejimenti yake ili kuhakikisha

mradi unatekelezwa kwa wakati na kwa uadilifu ili uwe wenye tija na kuwaagiza wazazi na walezi wote kuwapeleka shule

wanafunzi wote waliohitimu darasa la saba na kuchaguliwa kujiuunga na kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2021/2022


Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Mh Jamar Abdallah Kapende amewaasa waheshimiwa

madiwani na wananchi ambao watateuliwa kuwa katika kamati za ujenzi kuwa waadilifu na kutanguliza uzalendo katika utekelezaji

wa mradi huu kwani hakuna pesa ambayo itatengwa kwa ajiri ya posho na kutoa angalizo kuwa kama yuko mtu anahisi atajipatia fedha

kwa maslahi binafsi ni bora akajiondoa mapema kwani hizi fedha ni za moto na zitatumika tu vile ilivyokusudiwa na si vinginevyo


Mradi huu unatekelezwa katika shule zote 11 za sekondari katika Halmashuri ya Mji Nanyamba kwa mchanganuo ufuatao

NAMBA JINA LA KATA JINA LA SHULE IDADI YA MADARASA FEDHA KWA DARASA MOJA JUMLA
1 NJENGWA NJENGWA SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
2 NANYAMBA NANYAMBA SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
3 CHAWI CHAWI SS 2 20,000,000/= 40,000,000/=
4 DINYECHA DINYECHA SS 2 20,000,000/= 40,000,000/=
5 KIROMBA KIROMBA SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
6 KITAYA KITAYA SS 2 20,000,000/= 40,000,000/=
7 MBEMBALEO MBEMBALEO SS 2 20,000,000/= 40,000,000/=
8 MILANGOMINNE MNYAWI 3 20,000,000/= 60,000,000/=
9 MTIMBWILIMBWI MTINIKO SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
10 NITEKELA NITEKELA SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
11 MNIMA MNIMA SS 2 20,000,000/= 40,000,000/=
12 NYUNDO NYUNDO SS 3 20,000,000/= 60,000,000/=
JUMLA

31 @ 20,000,000/ 620,000,000/=













Matangazo

  • TAARIFA YA MAPOKEZI YA FEDHA July 02, 2024
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA WANANANYAMBA

    June 02, 2025
  • TAFITI YA LISHE YAENDELA KWA KASI HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    June 13, 2025
  • RC SAWALA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    June 10, 2025
  • TAFITI YA LISHE KWA WATOTO KUANZIA MIEZI 0 HADI MIEZI 59

    June 09, 2025
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023
  • YOUTUBE; Nanyamba town council
  • INSTAGRAM; nanyambatc3
  • FACEBOOK; Nanyamba Town Council
  • TWITTER/ X; nanyambatc1

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.