Posted on: April 3rd, 2018
Mhe. Abdallah Chikota, Mbunge wa Jimbo la Nanyamba amekabidhi gari la kubebea wagonjwa Ambulance kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Dinyecha.
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Nanya...
Posted on: March 30th, 2018
Ujenzi wa Kituo cha Afya Dinyecha unatazamiwa kukamilika hivi karibuni huku tayari ujenzi wa majengo yote ukiwa umekamilika kwa Zaidi ya 80%.
Kituo hicho ambacho kinatarajiwa kutoa huduma kwa wakaz...
Posted on: March 27th, 2018
UJENZI WA NYUMBA YA MKURUGENZI KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI
Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba unatazamiwa kukamilika hivi karibuni. Ujenzi ambao ulitengewa kiasi cha fedha t...