Posted on: October 21st, 2023
Ukaguzi wa vyakula na elimu ya matumizi ya chumvi yenye madini joto yatolewa katika masoko na maduka katika kata za Halmashauri ya Mji Nanyamba leo tarehe 21/10/2023.Zoezi hilo limefanyika na Afisa...
Posted on: October 20th, 2023
Halmashauri ya Mji Nanyamba imenunua vibao 19 na mashine za Kupimia damu kwa wajawazito na vibao vya kupimia urefu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano vyenye thamani ya shilingi milioni Nn...
Posted on: October 19th, 2023
Kata ya Njengwa kijiji cha Majengo leo tarehe 19/10/2023 waadhimisha Siku ya Afya na lishe ya kijiji watoto wapatao 167 wamefanyiwa tathimini ya hali ya lishe (udumavu,ukondefu na uzito pungufu).
Af...