Posted on: February 2nd, 2025
Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Mhe @chikota_abdallah leo tarehe 2/2/2025 ameboresha taarifa zake kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kijiji cha Nyundo katika kituo cha Ofisi ya Nyundo B kata ya Nyundo...
Posted on: January 31st, 2025
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dinyecha wafikiwa na kampeni ya Msaada wa kisheria ijulikanayo @mslegalaidcampaign inayoratibwa na wizara ya @katibanasheria ikiwa leo ni siku ya nane toka kampeni hiyo...
Posted on: January 31st, 2025
Timu ya kampeni ya Utoaji wa Msaada wa kisheria ya @mslegalaidcampaign leo tarehe 31/1/2025 imefika katika Shule ya Sekondari Nanyamba kwa lengo la kutoa elimu ya msaada wa kisheria hususani mambo ya ...