Posted on: August 5th, 2025
Halmashauri ya Mji Nanyamba katika kuadhimisha Wiki ya Unyonyeshaji Maziwa ya Mama Duniani,Elimu imeendelea kutolewa kwenye vituo vya afya na kwenye jamii kwa wakinamama wajawazito na wale...
Posted on: August 4th, 2025
Leo tarehe 04 Agosti 2025, mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata yamefunguliwa rasmi katika ukumbi wa halmashauri Mji Nanyamba.
Mafunzo haya ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea...
Posted on: August 1st, 2025
Ngongo, Lindi — Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mhe Abdallah Mwaipaya leo wametembelea banda la Halmashauri ya Mji Nanyamba katika Maonesho ya Kili...